Sunday, December 4, 2016

Huduma za kijamii


Kama huduma Tunawapelekea neno la Mungu watu waishio katika mazingira magumu kama vile yatima, wajane, wafungwa na wazee.Tuna watembekea katika vituo vyao au sehemu wanazo ishi ambapo huwa tunapeleka ujumbe wa Mungu pamoja sadaka zetu hapo kama zawadi  tukifurahi wema wa Mungu pamoja nao.

Tunashiriki huduma zingime za kijamii ikiwa no pamoja na kujitolea kulipia  ada za wanafunzi, kuwanunulia vifaa vya shule, na mengine mengi.


 Karibu tujenge ufalme wa Mungu

Samuel

Author & Editor

Mimi si mchungaji au nabii bali ni mjumbe tu wa Mungu ambaye kwa neema yake amenitumwa kwa kizazi hiki niwaambie habari zake Mungu na falme wake,nami nakuombea Mungu akujalie neema ya kuelewa na kuyaweka katika matendo uliyo yasoma.