Saturday, December 3, 2016

Maomni/maombezi


Kutokana na mipaka ya kidini,kidhebu na kimila tunatambua kuwa wapo watu ambao hawawezi kuingia kanisani, jambo hili linawanyima kupokea vipawa vya Mungu wao ikiwa ni pamoja na kumtambua Mungu katika maisha yao.

Neno ministry hutoa huduma ya  maombi,maombezi, mafundisho na ushauri kupitia mtando,kwa njia hii tumewafikia wengi na wamepokea Baraka zao.Huduma za maobi na maombezi pia hutolewa kwa kuonana na mhusika ikiwa atapenda kufanya hivyo.Hiduma hii hutolewa pasipo malipo ya aina yoyote ile.

Samuel

Author & Editor

Mimi si mchungaji au nabii bali ni mjumbe tu wa Mungu ambaye kwa neema yake amenitumwa kwa kizazi hiki niwaambie habari zake Mungu na falme wake,nami nakuombea Mungu akujalie neema ya kuelewa na kuyaweka katika matendo uliyo yasoma.