Saturday, December 3, 2016

Ushirika wa imani


Neno ministry inaamini katika kushirikiana na waamini wengine katika Imani yenye msingi katika Kristo Yesu aliye Jiwe kuu la pembeni 
(Mathayo 21:42 "...Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni; ...")
katka ujenzi wa ufalme wa Mungu.

Tunatambua kuwa hatupo peke
yetu bali wapo watumishi wengine waliojaliwa neema ya kujenga katika msingi huu imara. Kama Yesu alivyo sema Luka 9:50
".. Msimkataze, kwa kuwa yeye ambaye si kinyume chenu yu upande wenu ".

Ni katika msingi wa andiko hilo  tunashirikina na huduma zingime, makanisa na watu bimafsi waamini na walio tayari kujenga ufalme wa Mungu kupitia mafundisho ya kweli ya Biblia chini ya uongozi wa Roho mtakatifu. Tunaamini hii ndiyo njia pekee ya kushirikishana vipawa hata mwili wa Kristo upate kujengwe.
Waefeso 4:12
"kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe;"

Samuel

Author & Editor

Mimi si mchungaji au nabii bali ni mjumbe tu wa Mungu ambaye kwa neema yake amenitumwa kwa kizazi hiki niwaambie habari zake Mungu na falme wake,nami nakuombea Mungu akujalie neema ya kuelewa na kuyaweka katika matendo uliyo yasoma.