Saturday, December 3, 2016

Jifunze kila mahali


Neno ministry ni rafiki yako wako wa karibu anaye kupenda sana na kuudhihirisha upendo huo kwa kucuatana nawe popote ulipo na saa yoyote yupo nawe karibu.

Katuka ulimwengu wa Leo tumezungukwa na mambo mengi yenye changamoto kubwa katika maisha yetu zimazo tishia ustawi wetu wa kiroho na kimwili hivyo tuna hitaji upendo, amani na kumtegemea Mungu kwa kila jambo ili tuweze kukua kiroho na tuwe na afya njema kimwili.

Neno ministry inalitambua hilo, hivyo kwa msaada wa Roho mtakatifu imeamua kwa dhati kukuletea mafundisho ya kiimani uenye kupa elimu ya kukusaidia kudhikabiri changamoto hizo bila kujali ubali au muda gani tutakuwa nawe popote ulipo.

Sasa waweza kufuahia na kushangilia katika Kristo Yesu ukiwa na simu yako au Kompiter yako mahali ulipo kwa kushiriki mafundisho haya, maombi na maombezi au sadaka wakati wowote.

  Kuwa mmoja sasa wa wale.wamgojao

Samuel

Author & Editor

Mimi si mchungaji au nabii bali ni mjumbe tu wa Mungu ambaye kwa neema yake amenitumwa kwa kizazi hiki niwaambie habari zake Mungu na falme wake,nami nakuombea Mungu akujalie neema ya kuelewa na kuyaweka katika matendo uliyo yasoma.